Area C, Kiwanja Cha Ndege, Barabara ya Samia, Block 1, Plot 32, House # 27, Dodoma
Open now
• Mon - Sat, 09:00-18:00
Troika ni kahawa mchanganyiko wa mimea tiba na aina tatu
1. mizizi ya kinseng
2. uyoga mwekundu (garnoderma lucidum)
3. mzizi wa tongkat ali
faida za troika hii ni:-
• kuongeza uwezo wa kufanya tendo la ndoa kwa kuongeza uzalishaji wa homoni ya testosterone
• kuondoa na kuzuia uvimbe wowote hivyo kupunguza kasi ya kansa
• kusawazisha kiwango cha sukari katika damu
• inaimarisha kumbukumbu na kuzngatia. pia kuongeza uwezo wa kusikia na kuona
• kuondoa uchovu na kuleta usingizi mzuri wa usiku
• huongeza kiwango cha oxygen kwenye damu, kusawazisha ph na kuongeza kinga ya mwili
• Hupunguza kiwango cha sukari iliyozidi katika damu inawafaa wenye kisukari,huimarisha kinga mwilini
• Msaada kwa watu wenye kisukari, shinikizo la damu, vivimbe, mzio(allergy) na saratani.
imethibitishwa na tbs na zfda
manufactured under:
gmp, haccp & iso 22000:2005