MAZIWA MTINDI KICHOCHEO CHA USINGIZI
Tatizo la kukosa usingizi limekuwa la kawaida katika jamii yetu hasa kwa kundi la jamii ya watu wanaojiweza. Wengi wanalalamika kukosa usingizi au kupata usingizi na kuzinduka baada ya muda mfupi.
Sababu za kukosa usingizi ni pamoja na msongo wa mawazo, kufanyakazi kupita kiasi, udhia, kuvuta sigara, kushiba sana, unywaji chai au kahawa nyingi na kuwa na njaa.
Ili kuondoa tatizo hilo ni vyema kurekebisha visababishi tajwa, lakini pia unaweza kutumia MTINDI kumaliza tatizo.
Kabla ya kwenda kulala, kunywa glasi moja ya maziwa mtindi na mengine paka kwenye paji lote la uso, utapata usingizi bila shaka au kabla ya kwenda kulala kunywa glasi moja ya maziwa freshi yaliyochanganywa vizuri na kijiko kimoja cha mezani cha asali.
Delivery ipo kwa gharama nafuu sana ndani ya Dodoma
#NipeDili