#wonderful_group_limited ndio company pekee inayotengeneza #stainless_steel_water_tank nchini tanzania ni tank imara zisizoweza kuharibika kirahisi , kwa mwanga wa jua , haziruhusu wadudu kuzaliana ndani , hudumu kwa muda mrefu , unaweka kuhifadhi nafaka ,chemical za viwandani , maji , pombe na kadhalika tunatengeneza kuanzia ujazo wa litre 500 na kuendelea , ukitaka vertical,horizontal, round and box shape.