Nahitaji mtu ambae atakuja kufanya kazi kwenye familia yangu, ambapo nayeye atakuwa mmoja wa mtu katika familia yangu, sitamchukulia kama mtu baki, atakula, atalala, atatibiwa kama ikitokea tatizo la kiafya pia nitampenda kama mwanangu. Mahali (Dodoma mjini-Makulu)