Unataka kujenga eneo la biashara?? soma hii ;
. Tafuta mtaalam (architect) akutafsirie mawazo yako kwenye mchoro kuepuka;
1. Matumizi mabaya ya nafasi
2. Muelekeo mbovu(orientation) ya jengo lako
3. Mpangilio mbovu (zoning) wapi ikae nini na wapi pakae makaro ya vyoo n.k
. Hakikisha unakuwa na msimamizi (experienced) asimamie ujenzi wako kiepuka kujenga kituko mjini, wapangaji wanataka sehemu ya kisasa ili kupunguza kazi ya marketing ya bidhaa zao, jengo likiwa smart watapanga kwa kugombania na kwa gharama zako si zao.
.P.S Yapo mengi ya kukueleza lakini nimefikia mwisho wa idadi ya maneno hivyo ukiwa na hitaji la mchoro wa eneo lako la biashara na makazi njoo Whatsapp