Milion 100 tu ipo mbagala chamanz kwa mkongo jiji la dsm wilaya ya temeke jimbo la mbagala kata ya chamanz mtaa wa mkondogwa
eneo square meter 818
ime pimwa upimaji shilikishi
nyumba kalli sana ni mpya kabisa ime jengwa vzuri sana ina ramani nzuri nyumba ya kisasa kabisa
vyumba vnne vya kulala vyumba viwili ni master bedroom ina sitting room na daining room ina jiko na store ina public toilet pamoja na maji na umeme
ina kisima cha maji na ipo jilani kabisa na bara bara kuu ya lami
ukiwa na mteja alie sirious akifika site awezi kuiyacha kabisa iyo nyumba ni nzuri sana.