MORINGA ina vitamini na madini mengi muhimu. Majani yana vitamini C mara 7 zaidi ya machungwa na potasiamu mara 15 zaidi ya ndizi. Pia ina kalsiamu, protini, chuma, na asidi ya amino, ambayo husaidia mwili wako kuponya na kujenga misuli.
Kwa kawaida hutumiwa kama tiba na kinga ya maradhi yafuatayo;
Kuvimba kwa muda mrefu
Maambukizi ya bakteria, virusi na kuvu
Maumivu ya viungo
Afya ya moyo
kupunguza uvimbe wa majimaji, uwekundu, na maumivu(Rheumatoid arthritis)
Kisukari, kusaidia mwili kusindika sukari vizuri zaidi.
Afya ya Ubongo na kurejesha Kumbukumbu.
Huondoa Cholesterol( mafuta yalioganda mwilini) na kupunguza uzito
Ugonjwa wa Arthritis
Shinikizo la damu
Uharibifu wa ini unaosababishwa na dawa
Vidonda vya tumbo
Uponyaji wa jeraha
Pia MORINGA umejaa antioxidants, vitu vinavyoweza kulinda seli kutokana na uharibifu na inaweza kuongeza mfumo wako wa kinga.
unasababu nyingi za kutumia MORINGA kwenye maisha yako kama Tiba Au kinga