Reish Coffee
Ni kirutubisho lishe maususi katika kutoa sumu mwilini,kupandisha kinga ya mwili na kulinda organi muhimu kutodhurika kutokana na sumu mbalimbali kama sumu za madawa ya hospitali,sumu za vyakula ,na sumu zote zinazo patikana kwenye mazingira tunayo ishi.
Kirutubisho hiki ni cha asiri hakina kemikali wala caffein kinatumika na mtu yoyote yule hata mwenye sukari na pressure anatumia ili kutoa sumu mwilini mwake na mtu ambae haumwi anatumia ili kutoa sumu na kuimarisha kinga za mwili.
Kwa maitaji ya kirutubisho hiki unaweza piga simu kwa matokeo mazuri.