Hi Simu ni nzuri kwa watu wa porini na migodini. Mnara unapanda popote ulipo.simu nyuma ina taa inawaka kama umeme au gari. Simu inakaa zaidi ya wiki mbili na chaji mpaka mwezi moja.simu ina features kali balaa.na simu haingizi maji wala sio rahisi kuvunjika.
Internal 256 gb
Ram 12 gb
Battery 22000 MAH
Camera 108 MP
Screensize 6.8
Charging type C